Utangulizi

Ndani ya eneo hili tutazungumzia kuhusu program hii ya WhatsApp, fursa iliyopo WhatsApp na vitu unavyohitaji kutengeneza pesa WhatsApp.


Zoezi:

  1. Unamlenga nani?
  2. Unatatua tatizo gani?
  3. Andika stori ya mteja wako.
  4. Fafanua brand yako [Specialisation].

Zoezi:

Install WhatsApp business katika simu yako na fanya setup