Skip to content
Online Profits
  • Mwanzo
  • Sisi Ni Nani
  • Dr. Said Ni Nani
  • Blogu
  • Wasiliana Nasi
  • Close Search Form
    Open Search Form
Abdallah Hemedi

Abdallah Hemedi

Content Manager

Kuza Biashara
Ukuzaji Wa Biashara
March 16, 20180Comments

Mambo Matatu Ya Msingi Ya Kuzingatia Kuweza Kukuza Biashara Yako Ndani Ya Mtandao

Kama una biashara na unafikiria kuikuza biashara yako kwa muda mrefu kuanzia miaka mitano hadi kumi basi makala hii ni kwa ajili yako. Mambo ya msingi unayotakiwa kuyazingatia ili uweze
by Abdallah Hemedi
Msongo wa Mawazo Katika Biashara
Ukuzaji Wa Biashara
February 28, 20180Comments

Jinsi ya Kudhibiti Msongo wa Mawazo Katika Biashara Yako

Watu wengi ambao hawajazama ndani ya  biashara wana picha fulani ya kwamba biashara au ujasiriamali ni sehemu bora ya wao kuwepo. Kwa wengine inaweza kuwa sehemu nzuri kuwepo lakini wengi wanahangaika katika
by Abdallah Hemedi
whatsapp business
Mitandao Ya Kijamii
February 14, 20180Comments

Whatsapp Wazindua Whatsapp Ya Biashara

Baada ya kuona wafanyabiashara katika nchi tofauti ikiwemo India, Brazil na nchi zenye kuendelea wakitumia WhatsApp kuwasiliana na wateja wao, whatsApp wameamua kuzindua app yao ya biashara. App hiyo ilizinduliwa mwezi wa
by Abdallah Hemedi
facebook likes
Biashara ya mtandao (Online Business)
Facebook
February 1, 20180Comments

Kwa nini kuwa na Likes Nyingi Katika Kurasa Yako ya Facebook Mwaka 2018 ni Stretejia Mbaya

Kama wewe ni mfanyabiashara na umeanzisha page yako ya biashara na moja ya malengo yako ni kupata likes nyingi kwa mfano kupata likes laki 1 au milioni basi nakuhakikihshia kuwa hiyo
by Abdallah Hemedi
Maendeleo Ya Kibinafsi
January 10, 20180Comments

Umuhimu wa Kuwa Mtaalamu Katika Jambo Unalofanya

Kama wewe ni mfanyakazi au mfanyabiashara na haijalishi unafanya biashara gani, aidha unafanya Network Marketing, au Una duka lako unauza nguo au wewe ni Daktari au ni Mhandisi (Engineer), au kazi yoyote 
by Abdallah Hemedi
Masoko
Mauzo
December 23, 20170Comments

Mambo Matatu ya Msingi Unayotakiwa Kuyafanya Katika Mtandao Ili Uweze Kupata Wateja

Katika mafunzo yetu ya leo tutazungumzia Mambo matatu ya msingi na ya muhimu unayotakiwa kuyafanya katika mtandao ili uweze kupata wateja kwa wingi na kwa kiingereza tunaita mambo haya matatu “The
by Abdallah Hemedi
mafanikio
Maendeleo Ya Kibinafsi
November 23, 20170Comments

Jinsi ya kuwa shujaa na kupata mafanikio unayoyataka

Kama umetumia muda mwingi na njia nyingi ili kupata mafanikio lakini umekuwa ukishindwa mara zote, Soma kwa Umakini mkubwa makala hii kwani huenda ikawa ndio suluhisho pekee la kukusaidia kufikia mafanikiounayoyataka. Kabla
by Abdallah Hemedi
Maendeleo Ya Kibinafsi
November 21, 20170Comments

Jinsi ya kutumia uwoga uliokuwa nao ili kufikia mafanikio makubwa

Woga ni kitu ambacho watu wote wanacho, hakuna mtu anayeishi duniani na ikawa hakuna kitu asichokiogopa na kama yupo mtu wa aina hiyo basi atakuwa ana matatizo ya akili. Lakini kwa
by Abdallah Hemedi
Mauzo
November 21, 20170Comments

Jinsi ya kulenga wateja vizuri

Moja ya changamoto ambayo naona wafanyabiashara wengi ninaozungumza nao wanayo ni kutofahamu njia sahihi ya kulenga wateja wao.  Kama ungependa kujifunza njia sahihi ya kuwalenga wateja wa bidhaa au huduma unazozitoa basi
by Abdallah Hemedi
Jinsi ya kukuza biashara yako
Ukuzaji Wa Biashara
November 20, 20170Comments

Jinsi ya Kuikuza Biashara Yako Kufikia Mafanikio Makubwa

Kama unaendesha biashara yako na umefikia hatua ambayo unahisi umekwama au umekutana na kizuizi cha aina yoyote na unashindwa kuikuza biashara yako basi formula hii itakusaidia sana. Na fomula hii nimejifunza
by Abdallah Hemedi
Online Profits

©2010-2017 SmartTheme. All Rights Reserved.

WordPress Theme by OptimizePress